
Beaternberg Jukwaani
Beatenberg, Xoli M, Qness na Black Motion wanaibariki Tanzania kwa onyesho la Live.
Kuletwa pamoja katika jukwaa moja kwa wasanii hawa, aina ya muziki wanaoufanya na uzoefu wa kutumbuiza kitaifa na kimataifa, unakuwa ndio kitu cha pekee ambacho kinaliongezea Onyesho hilo ladha ya kipekee, na kukunyima sababu ya kukosa .