Man Fongo (kushoto) na Starboy
Khalid Starboy aliyasema hayo alipokuwa akihojiwa na EATV na kusema alitegemea kupata ushirikiano mzuri kutoka kwa Man Fongo na kusema umoja wao huo ungeleta maana zaidi lakini sasa Man Fongo alipoona ameingia huko yeye akakimbia.
Khalid amekuwa msanii wa tatu kupita katika mikono ya G Maker ambaye alianza kumsimamia kazi Sholo Mwamba, Man Fongo na sasa anamsimamia msanii huyo Khalid Starboy
Mtazame hapa Khalid akifunguka mengi zaidi:



