
Madee
Akiongea ndani ya eNewz Madee amesema Tunda hawezi kumpangia wakati wa yeye kuoa kwa kuwa yeye ameoa "mimi naheshimu sana neno ndoa na ntaoa ntakapoona kwamba nipo tayari ki akili kimawazo na hata vitedo" aliendelea kusema ataoa atakapokuwa kamaliza mambo yote ili atakayemuoa ajulikane kuwa ndiyo mke wake na hatakubali ndoa yake kuwa na kashfa yeyote
Hata hivyo Madee alimsihi Tunda kuweka pesa ambayo ameahidi kumlipia katika mahari yake ili ikifika muda wa kuoa basi Tunda aweze kumtolea hiyo mahari kwa kuwa dini ya kiislam inaruhusu ndugu wa kiislamu kutoleana mahari.