
Khaligraph Jones
Staa huyo mwenye michano tofauti, amesema kuwa ameamua kufanya hivyo baada ya kufanya ngoma tofauti kwa muda na hivyo kupooza ushindani uliokuwa unaendelea katika muziki kwa upande huo na hapa anasema na mashabiki wake na vilevile mahasimu wake katika game.