Mtayarishaji wa Muziki wa Muda mrefu nchini Tanzania Master Jay
Master Jay amefunguka zaidi na kusema kuwa sasa ivi msanii akitoa ngoma tu haichukui dakika inakua imesambaa nchi nzima huku wengine wakijinufaisha kwa mfumo huo kwa kuuza ngoma kwa bei rahisi.
Master Jay amesema wasanii wanaosema msanii lazima utoe albam ni kujidanganya kwa sababu kwa sasa mfumo wa uuzaji wa albam hauna faida kabisa kwa wasambazaji

