
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali ya Tanzania na Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing baada ya kumalizika kwa hafla ya uzinduzi wa sherehe za maadhimisho ya Mwaka Mpya wa China leo jijini Dar es Salaam.Maadhimisho hayo yanafanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja kuanzia saa 4;00 asubuhi hadi saa 11 jioni na yanatarajiwa kumalizika kesho tarehe 22 Januari 2017.
21 Jan . 2017

Baadhi ya wachezaji wa Yanga
21 Jan . 2017
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa hundi ya shilingi milioni 70 na laki nne kutoka Balozi wa China nchini, kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Chato
21 Jan . 2017