Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni, Saed Kubenea.

12 Aug . 2020

Mlinda mlango wa Klabu ya Manchester United akiokoa mkwaju wa aliyekua nyota wa Sevilla, Luis muriel katika moja ya mchezo wa michuano ya Ulaya waliyokutana.

12 Aug . 2020

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli katika Studio za East Africa Radio kuzungumzia masuala mbalimbali ya Timu yao.

12 Aug . 2020

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Klabu ya Azam Fc, Zacharia Thabit akiwa katika Studio za East Africa Radio akidadavua jambo kuihusu Timu yake.

12 Aug . 2020

Msanii wa HipHop Bongo Mr Blue

11 Aug . 2020

Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji, Elias Mwanjala (Pichani) Katika Ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini zilizopo Karume Jijini Dar es salaam.

11 Aug . 2020

Afisa Muhamasishaji na Msemaji wa Klabu ya Yanga, Antonio Nuggaz (Kushoto) akiwa katika Studio za East Africa Radio kuzungumza na Mashabiki wa Simba na Yanga.

11 Aug . 2020

Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.

11 Aug . 2020