
Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni, Saed Kubenea.

Mlinda mlango wa Klabu ya Manchester United akiokoa mkwaju wa aliyekua nyota wa Sevilla, Luis muriel katika moja ya mchezo wa michuano ya Ulaya waliyokutana.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli katika Studio za East Africa Radio kuzungumzia masuala mbalimbali ya Timu yao.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Klabu ya Azam Fc, Zacharia Thabit akiwa katika Studio za East Africa Radio akidadavua jambo kuihusu Timu yake.

Msanii Mbeya Boy Chuma

Msanii wa HipHop Bongo Mr Blue

Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji, Elias Mwanjala (Pichani) Katika Ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini zilizopo Karume Jijini Dar es salaam.

Afisa Muhamasishaji na Msemaji wa Klabu ya Yanga, Antonio Nuggaz (Kushoto) akiwa katika Studio za East Africa Radio kuzungumza na Mashabiki wa Simba na Yanga.

Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.