Hooolaaaa five jina langu Naitwa Timotheo wa Mbezi, nilikuwa nawapa Hi washikaji zangu tuliomaliza Mugabe Sec pale Sinza, ujumbe nimewakumbuka sana kundi langu tuliofahamika kama team macrezy haaaahaaa apana chezea eatv utashinda njaa.
Pinho Charls
Ni Pinho Charls nikiwa na wanangu Issa Nasoro na Makoye pande furani za Igunga Tabora tunaangalia enewz na tunawatuliza kama mpira uwanjani, holaaaaa 5.
Ally Manyanya
Ma name iz Ally Manyanya, shout outs to Msechu, Chief, Frank, IBRA Shiner na wote wanaoangalia eNewz time hii, holla 5.