Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Michezo ya mapigano yapamba moto

Jumatatu , 16th Jan , 2023

Wachezaji 40 wa sanaa za mapigano wanatarajia kushiriki Ligi ya Fay herous ambayo itaanza Februari 25 mwaka huu kwenye fukwe ya Azura Dar Es Salaam.

Ligi hiyo imeandaliwa  na Chama cha Wushu(TWA)  Tanzania kwa kushirikiana na Kamisheni ya Kusimamia ngumi za Kulipwa Tanzania ( TPBRC) na Klabu ya Fay Herous .

Katibu Mkuu wa  TWA  Sensei Gola Kapipi ,alisema kuwa wachezaji hao ni WA michezo ya ngumi za Kulipwa ,kickboxing Judo ,Karate na Wushu.

"Ligi Hii itakuwa inafanyika kila mwezi na tunatoa Fursa  kwa michezo ambayo haifanyi mashindano  iweze kutoa nafasi ya Vijana kushiriki  waweze kujitengenezea kupata ajira na kuinua michezo hiyo," alisema Sensei Kapipi.

Naye Katibu Mkuu wa TPBRC  Yahya Poli,alisema kuwa kwa ngumi za Kulipwa itashirikisha mapambano tisa  kati ya hayo  yapo ya Wanawake.

'' lengo ni kukuza,kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana kupitia mchezo huo''Katibu Mkuu wa TPBRC  Yahya Poli

Kwa upande wa Kaimu Mkuu wa Kitengo Cha Uhusiano na mawasiliano  wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT )  Najaha Bakari,aliwaomba wadau na wadhamini kujitokeza kuunga mkono kwa kusaidia kufanikisha Ligi hiyo.

'' Wito  mwingine kwa waandaji kuendelea kuandaa mashindano mengi Ili kutoa fursa kwa wachezaji kushiriki  na kuibua vipaji mtaani  Ili kuweza kupata wawakilishi bora  kimataifa.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria