Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yabadili uwanja wa kuwaadhibia 'waarabu'

Jumatano , 29th Mar , 2017

Mabingwa watetezi wa Tanzania Bara Yanga wamesema mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika Kati yao na MC Alger ya Algeria utachezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam badala ya CCM Kirumba Mwanza

Kikosi cha Yanga

Katibu Mkuu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa amesema,kutokana na hali halisi ya Uwanja ikiwemo marekebisho yanayotakiwa kufanyika kabla ya mchezo huo utakaopigwa Aprili 08 mwaka huu wameamua mchezo huo uchezwe jijini Dar es salaam huku akiongeza kuwa watahakikisha wanajipanga ili kuweza kuwapelekea mashabiki wao baadhi ya mechi za kimataifa jijini Mwanza.

Amesema lengo la wao kutaka kuchezea uwanja wa CCM Kirumba lilikuwa ni kutaka kuwapa fursa mashabiki wa kanda ya ziwa nao wapate kuona hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. 

"Ni kweli tulipanga tukachezee Mwanza hatukuwa na lengo la kuwakimbia mashabiki wa Dar es salaam kwa kuwa hata huko tunao mashabiki hivyo tukataka watu wote wapate haki sawa isipokuwa tulitaka kubadilisha tu upepo na watu wengine wapate fursa, Yanga popote pale inaweza kucheza kwa kuwa ina 'funbase' kubwa". Alisema Mkwasa

Wakati huohuo Mkwasa amesema kikosi cha Yanga kimeingia kambini hii leo mara baada ya kumaliza mazoezi ya jioni kwa ajili ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Azam FC ikiwa ni muendelezo wa Michuano ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria