Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VPL raundi ya 25 yaanza kwa sare

Alhamisi , 8th Apr , 2021

Michezo miwili ya ligi kuu soka Tanznaia bara raundi ya 25 imemaliza kwa timu kugawana alama, baada ya micho hiyo yote kumalizika kwa sare, Mchezo mmoja ulipigwa jijini mbeya na mwingine mkoani Lindi.

Wachezaji wakiwania mpira kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu Tanznaia bara

Mchezo wa mapema ulianza kutimua vumbi majaira ya Saa 8:00 mchana, mchezo ambao ulipigwa katika dimba la Sokoine jijini Mbeya ambapo timu kizazi kipya Mbeya City walikuwa wenyeji wa kagera Sugar na mchezo huo ukamalizika kwa sare ya bila kufungana 0-0.

Baada ya timu hizi kugawana alama moja moja sasa mbeya City wanafikisha alama 21 kwenye michezo 25 na wanasalia nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi, Kagera Sugar wanasalia nafasi ya 13 na kwa matokeo haya wanafikisha alama 26 kwenye michezo 25.

Mchezo mwingine ulipigwa mjini Lwangwa mkoani Lindi katika uwanja wa Majaliwa ambapo Namungo FC walikuwa wenyeji wa Ihefu FC na mchezo huo umemalizika kwa sare ya bao 1-1, Ihefu ndio walikuwa wa kwanza kufunga bao dakika ya 23 kupitia kwa Raphael Daud, lakini baadae kipindi cha pili dakika ya 61 Ibrahim Mkoko akaisawazishia Namungo fc.

Namungo wanafikisha alama 28 wakiwa nafasi ya 10 na mchezo wa leo ni mchezo wao wa 19, Ihefu wanafikisha alama 21 na wapo nafasi ya 17 na mchezo wa leo ulikuwa wa 25.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria