Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Tunakwenda kuchukua ushindi'' - Flying Dribblers

Ijumaa , 10th Aug , 2018

Kocha msaidizi wa timu ya Kikapu ya Flying Dribblers ambayo imetinga fainali ya michuano ya Sprite Bball Kings, Geoffrey Lea, amewataka mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi Agosti 18 kwenye uwanja wa ndani wa taifa kwani wataondoka na ushindi dhidi ya Mchenga Bball Stars.

Flying Dribblers kwenye mechi yao ya game 2 nusu fainali dhidi ya Team Kiza.

Lea amesema timu yake inaendelea na mazoezi kwaajjili ya fainali ambayo wanakutana na mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars katika mechi 5 za fainali ambazo zitaamua timu gani inaondoka na kitita cha shilingi milioni 10 kwa bingwa na milioni 3 kwa mshindi wa pili.

''Tumeshajua tutacheza na nani kwahiyo tunachofanya ni kuandaa vizuri kikosi chetu ili tuanze kwa ushindi, kikubwa tu mashabiki wajitokeze kwa wingi uwanjani sisi kama Flying Dribbllers hatutawaangusha'',- amesema.

Fainali ya Flying Dribblers na Mchenga ni kumbukumbu ya nusu fainali ya mwaka jana katika michuano hii inayoandaliwa na East Africa Television na kudhaminiwa na kiywaji cha Sprite. Katika nusu fainali hiyo Flying Dribblers ilitupwa nje ya mashindano na Mchenga kwenda fainali ambako walitwaa ubingwa.

Kocha msaidizi wa Flying Dribblers Geoffrey Lea kwenye mahojiano na East Africa Television.

Mechi za fainali zitaanza kupigwa Jumamosi Agosti 18 kwenye uwanja wa taifa wa ndani kabla ya mechi ya pili kupigwa Agosti 22 kwenye viwanja vya Don Bosco na game 3 itapigwa Agosti 25 uwanja wa ndani. Kama bingwa hatapatikana game 4 itapigwa Agosti 29 Don Bosco na game 5 itamalizika Septemba 1 uwanja wa ndani.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine