Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TMT yaahidi kulipiza kisasi

Jumatatu , 14th Aug , 2017

Mlinzi kutoka ya timu ya TMT, Raphael Msofe amesema kilichosababisha wao kufungwa katika mechi ya jana dhidi ya Mchenga BBall Stars ni kutokana na baadhi ya wachezaji waliwahi kucheza rafu nyingi na kupelekea kufungwa.

TMT ilipachikwa pointi 101-71 dhidi ya wapinzani wao Mchenga BBall Stars katika mechi ya ufunguzi wa fainali ya Sprite BBall Kings iliyofanyika katika viunga vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam.

"Mchezo ulikuwa mzuri na wenye ushindani mkubwa kwa siku ya jana, makosa yetu tumeyaona ambayo yamepelekea kufungwa kwa 'goal difference 30'. Tunategemea kucheza vizuri zaidi katika mchezo wa pili kwa kuwa tumeshaanza kuyafanyia kazi madhaifu yetu yaliyojitokeza", alisema Msofe. 

Katika hatua nyingine, mashabiki wa timu ya Mchenga BBall Stars wamefurahishwa na kiwango cha timu yao, kilichoonyeshwa siku hiyo hadi kupelekea kuibuka na ushindi mnono katika mechi ya kwanza ya fainali za Sprite BBall Kings kwa mwaka 2017.

Kwa upande mwingine, Mchezo wa fainali ya pili kati ya tano unapigwa Jumatano hii, kwenye viwanja hivyo hivyo vya Don Bosco Oysterbay

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera