Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yaitoa Kenya Beach Soccer

Jumapili , 22nd Feb , 2015

Timu ya Taifa ya Tanzania ya mpira wa ufukweni leo imefanikiwa kuiondoa Kenya katika mbio za kusaka nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, kwa mchezo huo baada ya kuifunga kwa mabao 7-6.

Meneja wa Timu ya Tanzania Deo Lucas, amesema kuwa siri ya ushindi huo ni maandalizi mazuri kabla ya kukutana na Kenya, ambao walikutana nao wiki jana katika mji wa Mombasa na Tanzania ikiwa ugenini ikaibuka na ushindi wa jumla ya mabao 5-3.

Deo amesema kuwa wapinzani wao Kenya walikuwa wazuri zaidi tofauti na mchezo wa kwanza walipokutana kitu ambacho kilifanya mchezo kuwa mgumu sana kwao licha ya kupata ushindi mnono.

Kutokana na ushindi huo Tanzania imesonga mbele kwa jumla ya mabao 12 kwa 9 ,Mwezi Machi kikosi hicho kitasafiri hadi nchini Misri kucheza mchezo wa awali kabla ya kurudiana baada ya wiki moja.

Endapo Tanzania itafanikiwa kuwafunga na kuwaondoa Misri basi moja kwa moja itakuwa imetinga katika fainali za Mataifa ya Afrika ambayo kilele chake itakuwa mwezi Aprili mwaka huu katiika visiwa vya Shelisheli.

Mchezaji wa Tanzania Ally Rabbi amefunga mabao manne pekee na kuipa timu yake ushindi huo mnono.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya