Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spurs yamtimua kazi Jose Mourinho

Jumatatu , 19th Apr , 2021

Kwa mujibu wa tovuti ya Sky Sports ya nchini England, kocha Jose Mourinho amefukuzwa kazi na klabu ya Tottenham Hotspurs kufuatia mwenendo wa matokeo yasiyoridhisha klabu hapo hususani kwenye ungwe ya pili ya ligi kuu nchini England.

Aliyekuwa kocha wa Spurs, Jose Mourinho.

Mourinho ambaye alijiunga na Spurs Novemba 20, 2019 kuchukua mikoba ya Mauriccio Pochettino na kusaini kandarasi hadi mwaka 2023, aliiongoza Spurs jumla ya michezo 86 kwenye michuano yote huku akipata ushindi kwenye michezo 44, sare 19 na vipigo 23.

Mourinho ameiacha Spurs kwenye nafasi ya saba kwenye msimamo wa EPL wakiwa nyuma kwa alama 5 kuingia kwenye nafasi nne za juu ili kuwani atiketi ya kushiriki michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya kwa msimu ujao wa mwaka 2021-2022.

Licha ya Mourinho kuiongoza Spurs kutinga fainali ya kombe la Carabao litakalochezwa tarehe 25 Aprili 2021 dhidi ya Manchester City, lakini mashabiki wa Spurs walishuhudia wakitolewa kwa kipigo cha mabao 5-4 dhidi ya Everton na kutolewa kwenye kombe la FA.

Kwa upande mwingine, Spurs iliondoshwa kwenye hatua ya 16 bora ya michuano ya ligi ya Europa kwa kipigo cha kupinduliwa meza cha mabao 3-0 baada ya kushinda 2-0 mchezo wa kwanza dhidi ya Dynamo Zagreb majuma mawili yaliyopita na kuushtua Uongozi wa Spurs.

Hii ni mara ya nne Mourinho kutimuliwa kazi kufuatia mwenendo wa matokeo yasioridhisha kwani mwaka 2007 mwishoni alitimuliwa na Chelsea, 2012 alitimuliwa na Real Madrid, miaka miwili mitatu mbele akatimuliwa na Chelsea na mwaka 2018 Disemba alitimuliwa na Man Utd.

 
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria