Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yamsajili mlinzi wa Zimbabwe, Peter Muduhwa!

Jumanne , 26th Jan , 2021

Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika, 'Wekundu wa Msimbazi', Simba wamethibitisha kumsajili mlinzi wa kati kutoka klabu ya Highlanders na timu ya taifa ya Zimbabwe Peter Muduhwa kandarasi ya mkopo wa miezi sita.

Mlinzi mpya wa Simba, Peter Muduhwa

Muduhwa amesajiliwa na Simba akitokea kwenye majukumu ya timu yake ya taifa ya Zimbabwe  alipokuwa anaiwakilisha nchi yake na kutolewa hatua ya makundi kwenye michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN yanayoendelea nchini Cameroon.

Mlinzi huyo mwenye miaka 27, amesaini kandarasi ya miezi sita yenye kipengele cha makubaliano ya kuongeza mkataba huo endapo Simba wakiridhishwa n akiwango chake na kuonesha nia ya kumbakisha beki huyo kitasa.

Mlinzi huyo mwenye uwezo wa kucheza mlinzi wa kulia ni wazi hautotumika kwenyue michezo ya ligi kuu bara kwasababu dirisha dogo la usajili nchini Tanzania limefungwa lakini atatumika kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika kwa sababu dirisha dogo la usajili la CAF lipo wazi.

Baada ya kufeli majaribio kwenye klabu ya Bidvest Wits ya Afrika Kusini aliyoyafanya na Mzimbabwe mwenzake ambaye hivi sasa ni mshambuliaji wa Azam, Prince Dube pamoja na dili la kwenda kukipiga nchini Sudan, sasa Peter Muduhwa ni mwekundu wa msimbazi.

Usajili wa Peter Muduhwa unakuwa ni usajili wa nne kwa mabingwa hao wa Tanzania bara baada ya kuwasajili Thadeo Lwanga, Perfect Chikwende na Lukosa Junior.

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria