Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba na Azam katika fainali ya kihistoria

Jumamosi , 10th Dec , 2016

Timu za Simba SC na Azam FC zimefanikiwa kuingia katika hatua ya Fainali ya Michuano ya Vijana wenye umri chini ya miaka 20 zinazotarajiwa kuchezwa hapo kesho katika Uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam

Vijana wa Azam wakishangilia ushindi wa jana

 

Simba SC na Azam FC zote zimeingia katika hatua ya fainali kwa mikwaju ya penati hapo jana Uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam.

Timu ya Simba imefanikiwa kuingia fainali baada ya kuitoa kwa penalti 8-7 Stand United ya Shinyanga ambapo katika mikwaju tisa, Simba walipoteza mmoja na Stand wakapoteza miwili baada ya dakika 120 za timu hizo kufungana bao 1-1.

Awali, Simba ndiyo waliotangulia kupata bao lililofungwa na Hussein Hamisi dakika ya 19 kwa shuti kali baada ya pasi ya Rashid Juma, kabla ya Stand kusawazisha kupitia kwa Adam Salamba dakika ya 53 kwa mkwaju wa penalti baada ya beki wa Simba kuunawa mpira kwenye boksi.

Kwa upande wa Azam FC, imetinga fainali baada ya kuichapa Mtibwa Sugar kwa mikwaju ya penati 4-2 kwenye mchezo wa nusu fainali, kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90 na 30 za nyongeza.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine