Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ruvu Shooting kuumana na Mtibwa Sugar, leo jioni

Ijumaa , 14th Jan , 2022

Raundi ya 12 ya Ligi kuu soka Tanznaia bara inaanza kutimua vumbi leo kwa mchezo mmoja, amapo Ruvu Shooting watakuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar katika Simba la Mabatini mkoani Pwani Saa 10:00 Jioni.

Mshambuliaji wa Mtibwa Salum Kihimbwa akipiga mkwaju wa penati kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Coastal Union

Wenyeji Ruvu Shooting wanaingia kwenye mchezo wa jioni ya leo wakiwa hawajashinda mchezo hata mmoja kwenye michezo 4 ya mwisho ya Ligi Iliyopita, wamefungwa michezo 3 na wametoka sare mchezo mmoja lakini pia wanarejea kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Mabatini baada ya kucheza michezo 3 mfululizo ya ugenini.

Kwa upande wa Mtibwa Sugar, kwa mara ya kwanza kikosi hicho kitaongozwa na kocha Salum Shaaban Mayanga ambaye kajiunga na kikosi hicho akitokea Tanzania Prisons. Na kikosi hicho kimeshinda michezo 2 sare michezo 2 na kimefungwa mchezo mmoja kwenye michezo 5 ya mwisho ya Ligi.

Timu hizi zina alama sawa kwenye msimamo wa Ligi zote zikiwa na alama 10 kwenye michezo 11, Mtibwa Sugar wapo nafasi ya 13 juu ya Ruvu Shooting ambao wapo nafasi ya 14, Mtibwa wakiwa na faida ya kufungwa mabao machache ukilinganisha na Ruvu Shooting.  

 

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria