Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Red Bull wawatosa Renault wajiunga na Honda

Jumanne , 19th Jun , 2018

Timu ya magari ya Red bull, imethibitisha kuachana na kampuni ya Renault ambayo ilikuwa inawatengenezea injini za gari zao mwisho wa mwaka huu na itaanza kufanya kazi na kampuni ya Honda ya nchini Japan.

Red Bull na Honda kwa pamoja wamesaini mkataba wa miaka miwili ambapo kuanzia mwaka ujao kwenye michuano ya mbio za magari duniani Formula One, Honda ndio watatengeneza injini za Red Bull.

Red Bull na Renault wamefanyakazi kwa pamoja kwa miaka 12 ambapo wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa dunia wa mbio za magari mara 4 mfululizo katika miaka ya 2010 na 2013.

Kampuni ya Honda sasa itafanya kazi na timu mbili kwa mara ya kwanza ambapo tayari inatengeneza injini za timu ya  Toro Rosso na sasa itaanza kutengeneza za Red Bull.

Honda wamepata mkataba wa kufanya kazi na Red Bull ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu timu ya McLaren wavunje mkataba na kampuni kwa madai kuwa injini zao zinawarudisha nyuma kwenye mbio za ubingwa.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine