Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais wa TBF ayataka tena mashindano ya Bball Kings

Jumapili , 26th Aug , 2018

Rais wa shirikisho la mpira wa Kikapu nchini (TBF) Phares Magesa, ameeleza kufurahishwa na ushawishi mkubwa uliotengenezwa na michuano ya Sprite Bball Kings kwenye mchezo huo huku akiomba mashindano hayo yawepo tena mwakani.

Wachezaji wa Mchenga Bball Stars wakishangilia ubingwa wao

Magesa aliyasema hayo jana usiku wakati wa kukabidhi zawadi kwa mabingwa wa michuano hiyo mwaka 2018, Mchenga Bball Stars, kwenye uwanja wa taifa wa ndani, ambapo alieleza kuwa mashindano hayo yamekuwa yakivutia watu wengi hivyo kuongeza thamani ya mchezo huo nchini.

''Kama tunavyoona watu wengi wamekuwa wakijaa uwanjani kushuhudia michuano hii, niombe tu wenzetu wa East Africa Television na Sprite ambao ndio waandaaji na wadhamini, mwakani tena michuano hii iwepo na ikiwezekana sasa iende kwenye mikoa mingine'', alisema.

Rais wa TBF Phares Magesa.

Michuano hiyo ambayo imefanyika kwa mara ya pili, imefikia tamati jana kwa mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars kushinda kwa 'Swipe' yaani mechi zote tatu kwenye'Best of 5' ya fainali dhidi ya Flying Dribbllers hivyo kutetea ubingwa wao.

Zawadi walizopata washindi jana ni milioni 3 kwa mshindi wa pili ambaye ni timu ya Flying Dribbllers, milioni 2 kwa Mchezaji bora wa mashindano 'MVP' Baraka Sadick na milioni 10 kwa mabingwa ambao ni Mchenga Bball Stars.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya