Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rage aitabiria kiama Yanga

Jumanne , 15th Aug , 2017

Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ameitaka timu ya Mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara Yanga, wajiandae kupokea kichapo kitakatifu katika mechi ya Ngao ya Jamii itakayochezwa mnamo Agosti 23 mwaka huu katika uwanja wa Taifa.

Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage.

Aden Rage amefunguka hayo ikiwa zimebaki siku chache kuanza kwa mtifuano huo huku akiwashangaa wanayanga kwa uwamuzi waliyoufanya kuenda kujificha mjini Pemba.

"Kama mimi ningekuwa kiongozi wa Yanga tarehe 23, ningesema hiyo Ngao ya Jamii wazee chukueni maana kila nikiangalia pale wa kumzuia Emmanuel Okwi, John Boko sioni, sasa Haruna Niyonzima naye zile majaro anazozitupa zinaleta raha, kwa hiyo nina uhakika tarehe Agosti  23, al manusura kama wamepata bahati watakula 7, sasa wanakuja kukutana na Simba. Sisi huko nyuma hatujapata ubingwa muda mrefu ni sawa sawa na Simba aliyejeruhiwa ukikukuta naye njiani hana msalie Mtume lazima akumalize tu. Na sijui wameenda Pemba kufanya nini, labda wanaenda tu kuchuma karafuu,” alisema Ismail Rage

Pamoja na hayo, timu ya Simba na Yanga zote kwa pamoja zimekimbilia mjini Zanzibar kwa lengo la kujiweka sawa kuelekea mtanange huo wa kukata na shoka ambao mpaka sasa kila mmoja anamtambia mwenzake kumfunga kutokana na ubora wa usajili waliyofanya katika msimu mpya wa Ligi kuu Tanzania Bara 2017/2018.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine