Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ole Gunnar amchapa Sir Ferguson

Jumatatu , 8th Mar , 2021

Baada ya klabu ya Manchester United kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Manchester City jana Machi 7, 2021 kwenye dimba la Etihad, sasa Ole Gunnar Solskjær ameweka rekodi ambayo hata kocha wa heshima wa timu hiyo Sir Alex Ferguson hakuiweka.

Ole Gunnar Solskjær na Sir Alex Ferguson

Solskjær sasa ndio kocha wa kwanza katika historia ya Manchester United kushinda mechi zake tatu mfululizo za kwanza, akiwa kama kocha nyumbani kwa wapinzani wao Manchester City, uwanja wa Etihad. 

Si hilo tu lakini pia ushindi huo ambao magoli yake yalifungwa na Bruno Fernandes dakika ya 2 ya mchezo kwa mkwaju wa penati pamoja na Luke Show dakika ya 50, umemfanya Ole Gunnar kuwa kocha wa kwanza katika makocha 67 ambao Guardiola amekutana nao kumfunga mara 4 mhispania huyo, ikiwa ni mara nyingi zaidi kuliko alivyopoteza kwa makocha wengine.

Pep Guardiola (kushoto) na Ole Gunnar Solskjær

Pia Manchester City rekodi yao ya kutofungwa katika michezo 28 imekoma baada ya kipigo hicho. Ikumbukwe Manchester City walikuwa hawajafungwa kwenye michuano yote tangu Novemba 2020 walipopoteza 0-2 dhidi ya Tottenham Hotspurs.

Machi 7, 2021 imeingia kwenye kitabu cha rekodi ikiwa ni siku ya pili kwa Manchester City na Liverpool kufungwa katika siku moja baada ya Liverpool nao kufungwa 1-0 na Fulham. Mara ya mwisho timu hizi mbili kufungwa siku moja ilikuwa ni Machi 3, 2017 ambapo Liverpool ilifungwa na Manchester United huku Manchester City ikifungwa na Wigan Athletics.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria