Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nusu fainali ya kwanza, Tamaduni na Mchenga safi

Jumamosi , 21st Sep , 2019

Michezo ya kwanza ya hatua ya nusu fainali ya Sprite Bball Kings 2019 imemalizika katika Uwanja wa Ndani wa Taifa na kushuhudia mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars na Tamaduni wakianza vyema.

Michezo ya kwanza hatua ya nusu fainali, Sprite Bball Kings 2019

 

Michuano hiyo inayofanyika kwa mwaka wa tatu mfululizo, ikiandaliwa na EATV na EA Radio kwa kushirikiana na kinywaji cha Sprite, imeonesha kuwa na msisimko mkubwa hasa katika hatua muhimu za kuelekea mwishoni.

Katika mchezo wa kwanza leo, timu ya Tamaduni imefanikiwa kuibuka na ushindi wa vikapu 99 dhidi ya vikapu 78 vya KG Dallas huku mchezaji Atupele Joseph wa KG Dallas akiongoza kwa kufunga pointi nyingi, ambapo amefunga jumla ya pointi 25, 'rebounds 5' - na 'assist 1'-.

Katika mchezo wa pili, mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars wameibuka na ushindi wa vikapu 95 dhidi ya 71 vya Flying Dribblers, huku mchezaji Baraka Sadick wa Mchenga akiongoza kwa kufunga pointi nyingi, ambapo amefunga pointi 35, 'rebounds 6' - na 'assist 3'.

Mechi za pili zinatarajia kupigwa Jumatano Ijayo, Septemba 25 katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine