Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ngoma ashindwa kuichezea Azam, Kagame

Jumanne , 19th Jun , 2018

Kuelekea michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati (KAGAME), mshambuliaji mpya wa Azam FC Donald Ngoma, imethibitika kuwa hataweza kushiriki michuano hiyo kutokana na kutokuwa vizuri kwa sasa.

Taarifa kutoka Azam zinaeleza kuwa Ngoma atakuwa nje ya uwanja katika mechi za ushindani mpaka mwezi August mwaka huu ndipo atakaporejea dimbani rasmi tayari kwa mapambano.

Mshambuliaji huyo aliyetoka Yanga na kujiunga na matajiri hao, alipelekwa Afrika ya Kusini kuangaliwa vizuri afya yake kutokana n kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu alipokuwa akikitumikia kikosi cha Yanga.

Aidha kwa upande mwingine Azam wamethibitisha kuwa, kuelekea michuano hiyo Tafadhwa Kutinyu, Mudathit Yahaya na wengine wote waliosajiliwa watakuwa tayari kushiriki ili kuhakikisha wanatetea ubingwa wao.

Azam FC ndio mabingwa watetezi wa michuani hiyo ambayo waliutwaa ubingwa huo miaka mitatu iliyopita huku Tanzania ikiwakilishwa na Azam FC pamoja na Simba huku Yanga wakijitoa katika mashindano hayo

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali