Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwandembwa kuwa pilato Kariakoo Derby, Mei 8

Jumanne , 4th Mei , 2021

Bodi ya ligi imemtangaza Emmanuel Mwandembwa ndiye atakayekuwa mwamuzi wa kati katika mchezo wa ligi kuu wa Mei 8, 2021 wa watani wa jadi, Simba dhidi ya Yanga utakaochezwa kwenye dimba la Benjamin Mkapa Jijino Dar es Salaam.

Mwamuzi wa kati, Emmanuel Mwandembwa aliyechaguliwa kuuchezesha mchezo wa watani wa jadi wa Simba dhidi ya Yanga.(wa pili kutoka kulia)

Mwandembwa atashirikiana na mwamuzi msaidizi namba moja, Frank Komba kutoka Dar es Salaam aliyetwaa tuzo ya mwamuzi msaidizi bora msimu uliopita, mwamuzi msaidizi namba mbili, Hamdani Saidi wa mkoani Mtwara.

Mwamuzi wa kati bora wa msimu uliopita wa VPL, Ramadhani Kayoko amechaguliwa kuwa mwamuzi wa akiba wa mchezo huo unatazamiwa kuwa wenye upinzani mkali kutokana na Utamaduni wa utaji wa jadi lakini pia kutokana na presha za kuwania ubingwa wa ligi kuu.

Ikumbukwe hii si mara ya kwanza kwa Emmanuel Mwandembwa kuwa pilato wa mchezo huo mkubwa nchini na Afrika kiujumla, kwani msimu wa mwaka 2018 aliamua mchezo huo kwa kuonesha kuumudu vema.

Mwandembwa pia ana uzoefu wa kiasi wa kusimamia mchezo wa kimataifa kwani Agosti 11,  2019 alikuwa mwamuzi wa akiba kwenye mchezo wa klabu bingwa Afrika kati ya Aigle Noir ya Burundi dhidi ya wababe wa Kenya, Gor Mahia huku Elly Sasii wa Tanzania akiwa mwamuzi wa kati.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya