Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mchenga hatuwaachi safari hii" - Flying Dribblers

Alhamisi , 19th Sep , 2019

Timu ya Flying Dribblers imejipigia kifua kuwabwaga mabingwa watetezi wa michuano ya Sprite Bball Kings 2019, Mchenga Bball Stars kuelekea nusu fainali ya michuano hiyo wikiendi hii.

Flying Dribblers

Akizungumza katika mahojiano na EATV & Radio Digital kuhusiana na maandalizi yao kuelekea mchezo huo, nahodha wa Flying Dribblers, Habi Mayeye amesema kuwa wamejipanga vyema na maandalizi yananendelea kuelekea mchezo huo, huku akiwapa tahadhari kuwa wamejipanga kuwaondoa.

"Kwa misimu mitatu sasa tumekuwa tukikutana na Mchenga na bahati mbaya wametufunga mechi mbili, kwahiyo na sisi huu ni wakati wetu wa kuwafunga na kurudisha hadhi yetu", amesema.

"Sisi siku zote tunakuwaga tumepoa, ni wakimya yaani. Lakini watu wanashangaa tu tunafika nusu fainali, mimi nimegundua tuna mashabiki japo kuna timu zina mashabiki wa amsha amsha lakini sisi tunao mashabiki hao na naamini siku ya Jumamosi patawaka pale Taifa", ameongeza.

Michezo ya kwanza ya nusu fainali ya Sprite Bball Kings inatarajia kupigwa Jumamosi hii, Septemba 21 katika Uwanja wa Ndani wa Taifa ambapo mechi ya kwanza majira ya saa 10:00 jioni itazikutanisha kati ya KG Dallas na Tamaduni huku mechi ya pili ni kati ya Flying Dribblers na Mchenga Bball Stars.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine