Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashabiki wa Manchester City wamjia juu Guardiola

Ijumaa , 17th Sep , 2021

Mashabiki wa Manchester City wamemjia juu Kocha mkuu wa timu yao, Pep Guardialo baada ya kutoa kauli ya kuwahimiza wajitotekeze kwa wingi kwenye dimba la Etihad siku ya Jumamosi dhidi ya Southampton.

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola (chini kulia) aliyewashukia mashabiki kuwataka wajitokeze uwanjani kwa nguvu wakati Manchester City itakapocheza na Southampton saa 11:00 jioni.

Guardiola alieleza masikitiko yake juu ya uchache wa mashabiki katika mchezo ligi ya mabingwa barani Ulaya, kwenye ushindi wa 6-3 dhidi ya RB Leipizg  ambapo mashabiki 38,000 waliingia uwanjani kati ya viti 55,000 vilivyopo.

Mashabiki wa City kupitia, katibu mkuu wa kilabu rasmi cha wafuasi wa Mabingwa hao wa Uingereza, Kevin Parker anataka Guardiola azingatie zaidi mazingira, akisisitiza Mhispania huyo haelewi shida ambazo mashabiki wanakabiliwa nazo.

"Sina hakika kama anaelewa mambo jinsi yalivyo, Haelewi ugumu ambao watu wengine walipitia kufika Etihad siku ya Jumatano.'' kitendo hicho Kilimshangaza sana, Parker amesema.

"Wana watoto wa kufikiria, wanaweza wasiweze kumudu, bado kuna maswala kadhaa kuhusu UVIKO-19 . Sioni ni sababu kilichomsukuma kuzungumzia jambo hili'' Alisema Parker.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria