Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Man United yaomba msaada kwa kampuni za mitandao

Jumanne , 20th Aug , 2019

Klabu ya Manchester United imeeleza kusikitishwa na kauli za kibaguzi za mashabiki wa klabu hiyo zinazoelekzwa kwa kiungo wake Paul Pogba kufuatia kukosa penalti katika mchezo wa ligi dhidi ya Wolves.

Paul Pogba na Marcus Rashford

Katika mchezo huo, Pogba alikosa penalti katika dakika ya 68 ya mchezo, ambapo mwisho wa mchezo timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1.

Sehemu ya taarifa iliyotolewa na Manchester United kuhusu suala hilo imesema, "kila mmoja hapa Mmanchester United amesikitishwa na ubaguzi unaoendelea juu ya Paul Pogba kwa kilichotokea usiku wa jana, tunlaani kwa nguvu kitendo hicho".

"Yoyote anayefanya kitendo hiki hawakilishi thamani na ukubwa wa klabu yetu na inatia faraja kuona mashabiki wakilaani suala hili katika mitandao ya kijamii. Tunafanyia kazi kuwafahamu wachache waliohusika katika suala hilo na kuwachukulia hatua kali. Pia tunahimiza makampuni ya mitandao ya kijamii kuchukua hatua kwenye hili", imeendelea kusema taarifa hilo.

Man United ina alama nne mpaka sasa katika michezo miwili iliyocheza, ikishinda mchezo wa kwanza dhidi ya Chelsea na kutoka sare mchezo wa pili dhidi ya Wolves, Jumatatu Agosti 19.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera