Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makata kocha mpya Ruvu Shooting

Jumanne , 6th Dec , 2022

Klabu ya Ruvu Shooting imemtangaza Mbwana Makata kuwa Kocha wake Mkuu mpya kwa kandarasi ya mwaka mmoja kuziba nafasi ya Kocha Charles Boniface Mkwasa aliyejiuzulu hivi karibuni baada ya timu kuwa matokeo yasiyoridhisha.

Afisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema Kocha Makata ni Kocha mwenye historia nzuri katika klabu alizofundisha ikiwemo Dodoma Jiji na Mbeya Kwanza hivyo wanaimani atawapata matokeo mazuri .

"Tulikuwa na kocha wetu Charles Mkwasa na kwa hakika kazi yake tuliifurahia na kuipenda sana na hakuna Mtanzania asiyejua kazi ya yake katika kufundisha mpira.

"Mkwasa ameandika barua kwa uongozi ya kuuomba kuachia ngazi kutokana na mwenendo na matokeo ya timu hasa katika mechi 10 za mwisho za mzunguko wa kwanza ambazo tumeambulia pointi mojatu jambo ambalo halijawahi kutokea," amesema Masau na kuongeza;

Kwa upande mwingine, Bwire amesema Uongozi wa Ruvu Shooting upo kwenye hatua za mwisho za ukarabati wa uwanja wao wa Nyumbani wa Mabatini ulipo Mlandizi mkoani Pwani ambapo ulifungiwa wa Bodi ya Ligi Kuu kwakutokidhi vigezo.

Kikosi cha Ruvu Shootung kinashika nafasi ya pili kutoka mwisho kikiwa na alama zake 11 na tayari kashacheza michezo 15.  

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali