Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Ligi ni ngumu''Mgunda

Ijumaa , 11th Nov , 2022

Kocha Mkuu Juma Mgunda, ameweka wazi kuwa msimu huu ligi ni ngumu na kila timu bila kujali iko kwenye nafasi gani imejiandaa vizuri kupigania pointi tatu.

Akizungumzia mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ihefu FC, Mgunda amesema maandalizi yanaendelea vizuri na wachezaji wapo kwenye hali nzuri.

Mgunda ameongeza kuwa ukimtoa Peter Banda aliyepata majeraha kwenye mchezo uliopita dhidi ya Singida Big Stars, Israel Patrick na Jimmyson Mwanuke ambao ni majeruhi wa muda mrefu nyota wengine wote wapo tayari kwa mchezo wa kesho.

Kuhusu suala la kutengeneza nafasi nyingi na kutumia chache kupata mabao Mgunda amesema; “ni kweli tunatengeneza nafasi nyingi lakini tunatumia chache, mimi na wasaidizi wangu tunaendelea kulifanyia kazi mazoezini kulipunguza kama si kuliondoa kabisa,”

Naye Nahodha Msaidizi Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amesema wachezaji wapo tayari asilimia 100 kuhakikisha wanapambana kupigania alama tatu katika uwanja wa nyumbani.

Zimbwe amesema ushindi kwenye mchezo wa kesho utatusaidia kupunguza tofauti iliyopo baina yetu na wanaongoza na kuzidi kuwapa presha.

“Sisi wachezaji tupo tayari kwa mchezo wa kesho, tunajua utakuwa mgumu. Tumetoka kucheza mechi ngumu dhidi ya Singida na hatujapata matokeo mazuri kwa hiyo tutajitahidi kupata ushindi kwenye mchezo wa nyumbani,” amesema Zimbwe Jr.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera