Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Klabu ya Tanzania yapata shavu Finland

Jumatano , 6th Dec , 2017

Klabu ya soka ya Kiluvya United ya Mkoa wa Pwani imefanikiwa kupata klabu rafiki inayofahamika kama Tampere inayoshiriki ligi kuu nchini Finland.

Katibu wa klabu hiyo inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini Omary Masawilla amethibitisha hilo, ambapo ameeleza kuwa urafiki huo umefanikishwa na mkuu wa mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo.

“Ni kweli tumepata klabu rafiki ya huko Finland inashiriki ligi kuu na wameona sisi tuna mipango mizuri na uwezo wa kupanda ligi kuu hivyo wakaomba tushirikiane katika mambo mabalimbali, tayari mkuu wa mkoa ameshatupa maelekezo na kinachosubiriwa ni wao kuja kukutana na sisi ili kuanza utekelezaji”, amesema Masawilla.

Ushirikiano huo utahusisha maeneo kadhaa ikiwemo  kukuza vipaji, mbinu za uchezaji na benchi la ufundi ili kuinua soka mkoani humo. Ushirkiano huo utaleta manufaa makubwa kwa vipaji vya soka hususani vijana katika mkoa wa Pwani.

Kwa upande mwingne Mkuu wa mkoa ametoa kiasi cha shilingi milioni moja kwa timu hiyo inayoshiriki ligi daraja la kwanza ili kuhakikisha inapunguza changamoto mbalimbali na hatimaye kutimiza lengo la timu kuingia ligi kuu.

Mhandisi Ndikilo ametoa mchango huo baada ya kutembelea kambi ya  timu hiyo iliyopo kwenye shule ya Filbert Bayi wilayani Kibaha. Kiluvya United inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama 14 kwenye kundi A ligi soka daraja la kwanza nyuma ya vinara JKT Ruvu yenye alama 23 wakati African Lyon inashika nafasi ya pili ikiwa na alama 17.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali