Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kitaumana: rekodi za Simba, Kaizer Chiefs ni balaa

Jumamosi , 15th Mei , 2021

Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika Simba SC watatupa karata yao ya kwanza leo usiku kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya robo fainali dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, mchezo huu unachezwa katika dimba la FNB Afrika Kusini.

Wachezaji wa Simba SC

Ushindi wa michezo minne sare ya mchezo mmoja na kupoteza mchezo mmoja ilitosha kuipa Simba alama 13 na kumaliza vinara wa kundi A' na leo wataminyana na Kaizer Chiefs ambao walimaliza nafasi ya pili kwenye kundi C' kwa jumla ya alama 9.

Wenyeji wa Kaizer Chiefs wamekuwa na rekodi nzuri katika uwanja wa nyumbani, katika hatua ya makundi hawajapoteza mchezo hata mmoja kwenye dimba la FNB wameshinda michezo miwili na wametoka sare mchezo mmoja na hawajaruhusu bao hata moja kwenye dimba hilo.

Wakati rekodi za Simba ugenini pia sio mbaya wameshinda mchezo mmoja tu ugenini wakipata sare mchezo mmoja na wamefungwa mchezo mmoja, lakini pia wekundu wa msimbazi wamefungwa bao 1 tu kwenye michezo mitatu ya hatua ya makundi waliocheza ugenini.

Simba hawana mchezaji mwenye majeruhi au mwenye adhabu atakayeukosa mchezo wa leo usiku wachezaji wote waliosafiri wapo tayri kwa mchezo ni uamuzi tu wa kocha Didier Gomez Da Rosa, kwa upande wa Kaize mshambuliaji wao Samir Nurkovic atakuwa akirejea baada ya kumaliza kutumikia adhabu, lakini wataendelea kumkosa golikipa wao Daniel Akpeyi ambaye anatumikia adhabu, Khama Billiat na mlinzi Mathoho bado wana majeruhi.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria