Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya yalipa kisasi dhidi ya Zanzibar

Jumapili , 17th Dec , 2017

Timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars imelipa kisasi dhidi ya timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes kwa kuifunga katika mchezo wa fainali ya CECAFA Senior Challenge uliomalizika jioni hii kwenye uwanja wa Kenyatta Machakos Kenya.

Mchezo huo wa fainali ulikuwa na kila aina ya mvuto baada ya Kenya kutangulia kwa bao la mapema dakika ya tano, bao ambalo lilidumu kwa zaidi ya dakika 80 ambapo Zanzibar Heroes ilisawazisha dakika ya 87.

Baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya bao 1-1, mwamuzi aliongeza dakika 30 ambapo Kenya walifunga bao la pili dakika ya 97.

Zanzibar hawakupotea mchezoni ambapo walifanikiwa kusawazisha bao hilo dakika ya 99 na kufanya dakika 120 kumalizika kwa sare ya mabao 2-2.

Fainali ya leo ni fainali ya 39 tangu kuanzishwa kwa michuano hiyo ikiwa ni ubingwa wa saba kwa taifa la Kenya. Fainali hiyo pia ilikuwa ni kumbukumbu ya fainali ya 1995 ambapo Zanzibar iliifunga Kenya mabao 2-1 na kutwaa ubingwa hivyo leo Kenya imelipa kisasi.

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera