Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jose Mourinho ashinda kombe la 5, Ulaya

Alhamisi , 26th Mei , 2022

Jose Mourinho ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza barani ulaya kushinda makombe 3 tofauti ya vilabu barani ulaya baada ya kukiongoza kikosi cha AS Roma kutwaa ubingwa wa michuano ya Europe Conference League jana usiku.

Jose Mourinho akibusu kombe la Conference League

AS Roma chini ya Jose Mourinho wametwaa ubingwa wa Connference na kombe lao la kwanza kwenye michuano ya vilabu Ulaya kwa kuinyuka Feyenoord ya Uholanza kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa fainali, bao pekee la mchezo huo limefungwa na Nicolo Zaniolo dakika ya 32.

Ubingwa huu umemfanya Mourinho kufikisha idadi ya makombe 5 ya vilabu barani ulaya aliyoshinda kama kocha. ameshinda ubingwa wa Klabu Bingwa (Uefa Champions League) mara 2 akiwa na FC Porto mwaka 2004, na Inter Milan 2010, pia ameshinda ubingwa wa Michuano ya UEFA Europa League mara mbili akiwa na FC Porto mwaka 2003 na 2017 akiwa na Manchester United. Hivyo ubingwa wa usiku wa jana ni wa 5 katika michuano 3 tofauti.

Mourinho pia hajapoteza mchezo hata mmoja wa fainali aliocheza kwenye michuano ya vilabu barani Ulaya katika fainali zote 5 alizocheza ameshinda zote. Na kombe hili ni la 26 kwa kocha huyo raia wa Ureno katika miaka yake 19 ya ukocha. 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria