Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Himid, Sure maingizo mapya Stars

Ijumaa , 20th Mei , 2022

Kikosi cha wachezaji 28 wanatarajiwa kuingia kambini Mei 28 kujiandaa na michezo ya kufuzu fainali za Mataifa Afrika (AFCON) 2023 nchini Ivory Coast huku viungo Himid Mao kutoka klabu ya Ghazi Mahl-Misri na Salum Abubakari ‘Sure Boy’ wa Yanga wakiwa ni miongoni mwa maingizo mapya Stars

Himid Mao kutoka klabu ya Ghazi Mahl-Misri na Salum Abubakari ‘Sure Boy’ Yanga.

Stars inaingia rasmi kambini Mei 28 kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu AFCON dhidi ya Niger utakaopigwa nchini humo Juni 4 kisha watacheza na Algeria Juni 8 katika uwanja wa Benjamin Mkapa.

Wachezaji hawa awali hawakujumuishwa kwenye kikosi kilichocheza mechi ya za kirafiki za kalenda ya FIFA.

Akizungumzia kuitwa kwa wachezaji hao, kocha msaidizi wa timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’, Shadrack Nsajigwa amesema sababu ya kuitwa kwa wachezaji hao ni kutokana na viwango wanavyovionyesha kwenye klabu zao.

“Mao na yeye licha ya awali alikuwa haitwi safari hii tumemuita kwa sababu watu wetu wamemfuatilia anachokifanya na kulizika na uwezo wake,” amesema Nsajigwa

Wachezaji walioitwa ni Aishi Manula, Abuutwalib Mshery, Metacha Mnata, Shomari Kapombe, Kibwana Shomari, Haji Mnonga, Mohammed Hussein ‘Tshabalala ‘ na Nickson Kibabage.

Wengine ni Bakari Mwamnyeto, Dickson Job, Kennedy Juma, Abdallah Kheri ‘Sebo’, Novatus Dismas na Mzamiru Yassin.

Wengine ni Aziz Andambwile, Himid Mao, Simon Msuva, Kelvin John, Mbwana Samatta, Farid Mussa na Abdul Suleiman.

Wengine ni Feisal Salum, Ben Starkie, Reliants Lusajo, Kibu Denis, George Mpole, Salum Abubakari ‘Sure Boy’ na Ibrahim Joshua.

 

 

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria