Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Doncic na Holiday wachezaji bora NBA wiki ya 15

Jumanne , 6th Apr , 2021

Mcheza kikapu wa timu ya Dallas Mavericks, Luka Doncic amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki ya 15 kwenye ligi kuu ya kikapu nchini Marekani kwa upande wa Magharibi baada ya kuonesha kiwango safi kilichoifanya timu yake kushinda michezo mitano mfululizo.

Luka Doncic wa Dalla Mavericks (kushoto) na Jrue Holiday wa Milwaukee Bucks (kulia).

Doncic amewapiku wacheza kikapu wenzake wote wa upande wa Magharibi kwa kuwa na wastani wa kufikisha alama 28.3, rebaundi 6.6 na kutengenza mabao 6.3 na kushinda michezo 4 mfululizo iliyochezwa kunzia wiki ya tarehe 29 Machi 2021 hadi Aprili 3 mwaka huu.

Kwa upande wa Jrue Holiday wa timu ya Milwaukee Bucks amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi hiyo wa wiki ya 15 kwa upande wa mashariki baada ya kufikisha wastani wa alama 26.8, rebaundi 8.5 na wastani 62.7 wa kufunga mabao uwanjani na kusaidia timu yake kushinda michezo mitatu.

NBA inataraji kuendelea tena alfajiri ya kuamkia kesho kwa michezo 8 huku ule unaosubiriwa kutazamwa na wengi ni mchezo wa mabingwa watetezi Los Angeles Lakers watakaocheza na mabingwa wa msimu juzi timu ya Toronto Raptors.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine