Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Didier Gomez: Tulichokitaka tumekipata Pre-season

Ijumaa , 17th Sep , 2021

Kocha wa 'Wekundu wa Msimbazi' Simba, Mfaransa Didier Gomez Da Rosa amefunguka na kusema kuwa, ameridhika kwasababu walichokuwa wanakitaka kwenye maandalizi ya michuano yote ya msimu ujao tayari wameshakipata.

Kocha wa Simba, Didier Gomez Da Rosa akiwa mazoezini.

Gomez ameyasema hayo wakati Simba walipomaliza mazoezi yao ya mwisho Septemba 16, 2021 kabla ya kuanza safari ya kurejea jijini Dar es Salaam Ijumaa ya leo Septemba 17, 2021 kwa ajili ya tamasha la Simba Day linalotaraji kufanyika Jumapili ya Septemba 19, 2021 kwenye dimba la Mkapa.

Gomez amesema; "Michezo miwili ya kirafiki tuliyocheza huku imetuonesha wapi tulipo kwa sasa, tunarejea DSM kwa ajilibya mchezo wetu na TP Mazembe pamoja na maandalizi ya mwisho mwisho kuelekea kwenye Ligi kuu, nashukuru tulichokuwa tunakitaka kwenye kambi tumefanikiwa kukipata".

Simba ilianza maandalizi ya msimu ujao Agosti 10 mwaka huu waliposafiri na kwenda kuweka kambi ya wiki mbili nchini Morocco na kucheza michezo miwili ya Kirafiki dhidi ya FAR AS Rabaat ya Ligi kuu nchini humo na timu ya daraja la kwanza, Olympique na kupata matokeo yote ya sare.

Baada ya hapo, msafara ulirejea nchini mwishoni mwa mwezi Agosti na kutimkia jijini Arusha ambapo ilicheza michezo mitatu ya kirafiki, dhidi ya Coastal Union na kuto sare ya bila kufungana na kupata ushindi mbele ya Fountain Gate na Mabingwa Burundi, Aigle Noir. 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria