Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bocco adai wanajenga heshima yao

Ijumaa , 25th Mei , 2018

Nahodha wa Klabu ya Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2017/18 na mshambuliaji wa Simba, John Bocco amefunguka na kudai watahakikisha katika mchezo wao ujao dhidi ya Majimaji FC wafanye vizuri zaidi ili waweze kujenga heshima yao waliyoikusudia kuifanya.

Bocco ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na mwandishi wa habari hii na kusema wanajua mchezo huo utakuwa mgumu sana kwa upande wao kutokana na wapinzani wao Majimaji wanapambana ili kujinusuru kutoshuka daraja.

"Tunakubali tumepoteza na tunaacha matokeo ya mchezo uliopita tunachoangalia sasa hivi ni mchezo uliokuwa mbele yetu dhidi ya MajiMaji, ni mechi itakuwa ngumu sana kwasababu wapinzani wetu wapo katika hatari ya kushuka daraja", amesema Bocco.

Pamoja na hayo, Bocco ameendelea kwa kusema "kwa hiyo watajitahidi ili wasiweze kushuka na sisi pia tupo katika kujenga heshima yetu ambayo tuliteleza katika mchezo uliopita".

Simba SC inashuka dimbani Mei 28, 2018 mkoani Songea kuvaana na Majimaji huku ikiwa na alama 68 ikishikilia kilele ya ligi kuu kwa michezo 29, Majimaji yenyewe ikishika nafasi 15 kwa alama 24 ikicheza jumla ya michezo 29.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria