Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bingwa mtetezi hoi kwa Zanzibar

Ijumaa , 15th Dec , 2017

Timu ya taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) imetinga fainali ya kombe la CECAFA Senior Challenge baada ya kuwaondoa mabingwa watetezi Uganda kwenye mchzo wa nusu fainali uliomalizika jioni hii.

Mchezo huo umepigwa kwenye uwanja wa Moi mjini Kisumu, Zanzibar walifanikiwa kupata bao la kuongoza dakika ya 22 kupitia kwa Abdulaziz Makame Hassan KABLA YA Uganda kusawazisha dakika ya 28 kupitia kwa Nsibambi Derrick.

Kipindi cha pili Zanzibar walianza kwa kasi wakitumia mbinu za kushambulia kwa kushitukiza ambapo katika dakika ya 58 walifanikiwa kupata Penalti ambayo ilifungwa na mchezaji Mohamed Issa Juma. Bao hilo limeipeleka Zanzibar fainali.

Vijana hao wa kocha Hemed Morocco watakutana na timu wenyeji ambayo ni Harambee Stars. Wenyeji hao walifuzu hatua ya fainali siku ya jana baada ya kuwafunga Burundi kwa bao 1-0 na leo wamemjua mpinzani wao wa fainali.

Kenya na Zanzibar zote zimetoka kundi A ambapo Kenya iliongoza kundi hilo ikifuatiwa na Zanzibara ambayo ilishika nafasi ya pili wakiziacha timu za taifa kadhaa ikiwemo ile ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) ambayo iliondoka na alama moja.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali