Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azizi Ki, Diarra kuwavaa Mbeya City kesho

Ijumaa , 25th Nov , 2022

kikosi cha Yanga jumamosi ya Novemba 25 ,2022 kinashuka dimbani kuvaana na Mbeya City katika uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye mchezo wa ligi kuu Soka Tanzania bara utaochezwa majira ya saa 12:15 jioni.

Kuelekea katika mchezo huo kocha msaidizi wa Yanga SC Cedric Kaze ameongea na waandishi wa habari namna ambavyo amejiandaa

“Tumejiandaa vizuri kwa sababu tunajua Mbeya City mechi zao za karibuni wamefanya vizuri. Mechi yao ya mwisho katika uwanja wa Benjamini Mkapa uliopita tulitoka sare na walitupa changamoto ambayo tumejiandaa kuikabili tena”

“Kila mchezo kwetu ni muhimu, hatuna mchezo ambao tunaudharau ili tusipoteze malengo yetu. Ukifanya mzaha kwenye maandalizi lazima utaumbuka. Tunaheshimu timu zote za ligi kuu. Tunafahamu kila timu inatamani kutufunga hivyo tumejipanga vyema kuzuia hilo kutokea”

kwa upande mwingine kocha Kaze amesema kuwa  wachezaji walikosekana mchezo uliopita, wamerejea huku Baadhi ni kama  Aziz Ki, Djigui Diarra, kutoka kwenye majukumu ya timu za taifa. Yannick Bangala nae amerejea baada ya adhabu yake kuisha lakini tutamkosa Feisal Salum kutokana na kadi tatu za njano
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine