Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alcaraz atangaza vita, French Open

Jumanne , 17th Mei , 2022

Mcheza Tenisi namba 6 Duniani Carlos Alcaraz amesema yupo tayari kushinda taji lake la kwanza kubwa la michuano ya Tenisi yani Grand Slam na hakuna cha kumkwamisha. Amesema haya kuelekea michuano ya wazi ya Ufaransa (French Open).

Carlos Alcaraz

Kinda huyo raia wa Hispania mwenye umri wa miaka 19 atakuwa akicheza kwa mara ya pili katika michuano ya wazi ya Ufaransa ambayo kwa mwaka huu yanaanza kutimua vumbi Mei 22, 2022. Mara ya kwanza alishiriki mwaka jana 2021 na aliishia raundi ya 3.

Kuelekea michuano ya mwaka huu amejinasibu kuwa yupo tayari kutwaa ubingwa wake wa kwanza wa Grand Slam, kwa sababu yupo vizuri kimwili na kiakili.

"Siogopi kusema niko tayari kushinda Grand Slam. Mwili najisikia vizuri sana. Nina nguvu kiakili. Mimi ni mchezaji hodari na mwishowe ndivyo inavyohitajika kushinda Grand Slam. Sasa nina kiwango bora, najisikia vizuri na kujiamini kabisa. Ni mambo mengi ambayo yanaweza kunivuruga na siogopi kusema niko tayari kushinda." amesema Carlos Alcaraz

Lakini atakuwa na kibarua cha kumvua ubingwa mchezaji namba moja Dunia Novak Djkovoc ambaye ndio bingwa mtetezi wa michuano hii na Djokovic anaiwania rekodi ya kutaka kushinda Grand Slam ya 21 ili amfikie Rafel Danal ambaye hapewi nafasi kubwa ya kushinda French Open mwaka huu.

Novak Djkovic bingwa mtetezi French Open 

Katika kalenda ya mwaka huu ya michezo ya Tenis Alcaraz ameshinda michuano ya Miami Open kwa kumfunga Casper Ruud lakini pia alimfunga Alexzender Zverev kwenye mchezo wa fainali wa michuano ya Madrid Open na kutwaa ubingwa wa michuano hiyo.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera