Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AL Hilal kutua Dar kesho kwa mwaliko wa Simba

Jumanne , 24th Jan , 2023

Mabingwa wa soka nchini Sudan, Al Hilal watatua jijini Dar es Salaam kesho saa sita mchana kwa mwaliko maalumu kutoka kwetu kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.

Wakiwa jijini Dar es Salaam, Al Hilal watacheza mechi tatu za za kirafiki dhidi ya Namungo, Azam FC na sisi wenyeji Simba.

Maandalizi yao yote kuanzia kesho watakapowasili nchini yatakuwa juu yetu ikiwemo mahali watakapofikia, uwanja wa mazoezi na vingine vyote mpaka siku watakayoondoka nchini Februari 6, mwaka huu.

Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu amesema tuliingia mkataba wa ushirikiano wa Al Hilal na moja ya makubaliamo ni kutembeleana na kufanya mashindano ili kuimarisha vikosi vyetu.

“Mtakumbuka mwaka 2021 tuliwaalika Al Hilal kwenye Muichuano ya Simba Super Cup na mwaka jana wao waliandaa nasi tukashiriki, kwa hiyo ushirikano wetu unaendelea vizuri,” amesema Mangungu.

Kwa upande wake, Meneja Mahusiano wa Al Hilal, Elfadhili Hussein ameushukuru uongozi wa klabu kwa kuendeleza ushirikiano na wanaamini watapata mazoezi mazuri kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Mamelodi.

“Baada ya kupata ratiba hii tuliwasiliana na Simba ili tuje tuweke kambi Tanzania, tuwashukuru Simba ikakukabli na kuandaa kila kitu. Tunaamini tutapata maandalizi mazuri,” amesema Elfadhili.

Ratiba ya mechi za Al Hilal

Januari 26, Namungo vs Al Hilal (Azam Complex)

Januari 31, Azam vs Al Hilal (Azam Complex)

February 5, Simba vs Al Hilal (Benjamin Mkapa)

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria