Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walimu waonywa juu ya ubaguzi

Alhamisi , 11th Oct , 2018

Kaimu Mkurugenzi wa idara ya maendeleo ya watoto Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mwajuma Magwiza, amewataka walimu nchini kutowabagua watoto kutokana na uwezo wao darasani.

Picha haina uhalisia na kilichosemwa, imetumika kama mfano.

Mwagwiza ameyasema hayo leo kwenye MJADALA wa East Africa Television, ikiwa ni siku ya mtoto wa kike duniani, ambapo amebainisha kuwa walimu wanapaswa kutenda haki darasani bila kuwabagua watoto kwa uwezo wao ama jinsia zao.

''Watoto wote wapewe nafasi bila kubaguliwa tunajua wanatofautiana uwezo lakini hiyo haifanyi wengine watengwe na sidhani kama hiyo ni maadili ya ualimu labda ni tabia binafsi za mtu'', amesema Magwiza.

Hatua hiyo imekuja baada ya mtoto Rahabu Francis ambaye naye alikuwepo kwenye MJADALA, kueleza kuwa amewahi kukumbana na kadhia hiyo ya kushuhudia wenzake wakitengwa darasani kisa uwezo, kupitia walimu kuunda klabu za kujisomea na ambazo hazizingatii uwezo wanafunzi.

Aidha Magwiza amewataka wazazi nao kutimiza wajibu wao kwa kuhakikisha wanafuatilia mienendo ya watoto wao wa kike na kuwatimizia mahitaji yao ili kuwaepusha na vishawishi ambavyo mwisho wa siku vinapelekea madhara kama mimba za utotoni.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine