Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watu waliotajirika wakiwa na umri mkubwa zaidi

Jumatano , 7th Feb , 2024

Bila kujali hali yako ya sasa, eneo ulilopo na umri wako wa sasa. 

Kitu ambacho tunaweza kukwambia kwa sasa ni kwamba unaweza kuwa mtu yeyote utakaye, kwa kufanya kitu sahihi.

 

Hawa ni baadhi ya mabilionea ambao wamefanikiwa (wamepata utajiri) wakiwa na umri mkubwa zaidi.

1. Colonel Harland David Sanders mmiliki wa migahawa maarufu zaidi duniani inayofahamika kama KFC alipata kuwa bilionea akiwa na umri wa miaka 63

2. Henry Ford mwanzilishi wa kampuni ya Ford inayohusika na utengenezaji wa magari na vyombo vingine ya moto alipata kuhesabiwa bilionea alipofikisha umri wa miaka 40

3. Christian Dior mwanamitindo kutokea nchini ufaransa na mmiliki wa kampuni ya Dior ambayo kwa sasa iko chini ya makampuni ya LVMH  yeye alipata kuhesabiwa bilionea alipofikisha umri wa miaka 41

4.  Adolf "Adi" Dassler mwanzilishi na mmliki wa kampuni maarufu ya utengenezaji wa vifaa vya michezo inayofahamika kama ADIDAS historia inamtaja pia mwanzilishi mwenza ambaye anafahamika kama Rudolf ambaye baada ya kugombana na ndugu yake alienda kuanzisha kampuni yake ambayo pia inahusika na utengenezaji wa vifaa vya michezo kampuni ya PUMA. Adolf "Adi" Dassler alipata kuhesabiwa tajiri alipofikisha umri wa miaka 48.

5. Ray Kroc mmiliki wa migahawa maarufu ya McDonald's kampuni aliyoinunua kutoka kwa ndugu wawili waliyoanzisha kampuni hii, alipata kufanikiwa akiwa na umri wa miaka 52 ukipata wasaa itazame filamu inafahamika kama ''The Founder (2016)''
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine