Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaume waaswa kuacha kunyonya maziwa ya wake zao

Jumanne , 16th Jul , 2019

Kumekuwepo na desturi ya baadhi ya wanaume kunyonya maziwa ya wake zao wanapokuwa wamejifungua, kitendo kinachoelezwa kuwa ni ukatili wa kijinsia wanachofanyiwa mama na mtoto.

Unyonyeshaji

Juma la kwanza la mwezi Agosti kila mwaka, huwa ni wiki ya siku ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama duniani, katika kuelekea wiki hiyo wanaume wameaswa kuachana na tabia hiyo kwakuwa inawanyima fursa watoto wadogo.

Hayo yameelezwa na Afisa Lishe wa Mkoa wa Iringa, Neema Mtekwa alipokuwa akizungumza katika warsha na waandishi wa habari, amesema wanaume wenye tabia za kunyonya maziwa ya wake zao wakati wakiwa wananyonyesha hawawatendei haki watoto kwani wao hutegemea maziwa ya mama pekee kwa kipindi chote cha miezi sita ya mwanzo.

Maziwa ya mama ni kwa ajili ya mtoto, ila kuna tabia ambayo inasemwa na bado haijafanyika utafiti wa kina, kwamba wapo baadhi ya wanaume wanapenda kunyonya maziwa ya wake zao wakijifungua, maziwa ambayo ni maalumu kwa ajili ya mtoto. Huu ni ukatili mkubwa dhidi ya mtoto”, amesema Neema.

Wiki ya unyonyeshaji duniani imewekwa kwa lengo la kusisitiza umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto mchanga na mdogo.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera