Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakazi wa Vijibweni, Dar wahofia Mamba baharini

Jumanne , 22nd Sep , 2020

Wakazi na Wavuvi wa maeneo ya Vijibweni wamepatwa na taharuki baada ya fukwe za bahari katika maeneo hayo kuonekana ‘Mamba’ mkubwa anaetishia usalama wa maisha ya wakazi na wavuvi wa eneo hilo.

Picha ya Mamba

Baadhi ya wavuvi na wakazi wa eneo hilo wamezungumzia hofu na taharuki waliyonayo dhidi ya Mamba huyo, wakiongea na kipindi cha Drive cha East Africa Radio inayoruka kila siku za Jumatatu mpaka Ijumaa saa 10 jioni mpaka saa 2 usiku mmoja kati ya wavuvi hao, Athumani Ally amesema walitoa ushirikiano na wataalam wa wananyamapori lakini imeshindikana baada ya kuchana nyavu na kumpiga risasi mbili lakini hatukuweza kumkamata na amerudi tena baharini.

Kwa upande wa mtaalam wa Wanyama Pori bwana Sai Mahela Sabri ambaye ni afisa uhifadhi wa Wanyama Pori mkoa wa Dar es salaam ameongelea hilo jambo baada ya kufika eneo hilo na kushindwa kumpata moja kwa moja mamba huyo, Sai amesema kuwa hata wao imewashtua kwakuwa sio hali ya kawaida Mamba kukaa baharini.

 "Kiukweli ata sisi imetushtua kukuta Mamba katika bahari maana inafahamika kuwa mamba anaishi maeneo ya maji baridi na kwa kawaida wanakuwa kwenye Maziwa au Mito lakini kwa kuwa hapa kuna mto mzinga inawezekana akawa anatokea kwenye mto huo na juhudi za kumtafuta mamba huyo bado zinafanyika”, amesema Sai.

Bofya sauti hapo chini kuwasikiliza mtaalam wa Wanyama Pori Sai Mahela na pamoja na wakazi wa eneo hilo

HABARI ZAIDI

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera