Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Uwezo wa Panya Magawa si wa kawaida"-Mkufunzi

Jumamosi , 26th Sep , 2020

Mkufunzi wa Panya Magawa, Pendo Msegu, ambaye ametunukiwa nishani ya dhahabu amesema kuwa panya huyo alionesha uwezo mkubwa tangu anaanza mafunzo baada ya kufikisha wiki 6 tu baada ya kuzaliwa, katika mafunzo ya miezi takribani sita panya huyo aliibuka kinara na mwenye uwezo wa ajabu.

Mkufunzi wa Panya Magawa, Pendo Msegu.

''Kwakweli ni panya active sana, kwa hatua zote nilizomfundisha alikuwa ni quick learner (mwepesi kujifunza), alikuwa ameweza kufanya mafunzo yake kwa kiwango cha juu sana na alikuwa ni rafiki kwangu na mimi pia kama Mwl wake najiskia furaha sana, nawish Magawa angekuwepo nimpatie zawadi ya epo kwa sabubu nimefurahi sana'' Pendo Isaack Msegu, Mkufunzi wa Panya Magawa.

Magawa ni panya aina ya panya buku aliyepewa mafunzo na shirika lisilo la kiserikali la Ubeligiji (Belgian Charity, APOPO) lenye makazi yake Morogoro, mpaka sasa amebaini mabomu ya ardhini 39 pamoja na vitu 28 ambavyo ni hatarishi viwapo ardhini. Magawa mpaka sasa amekagua mita za mraba 141,000 sawa na viwanja 20 vya mpira wa miguu.

"Panya huanza kufundishwa akiwa na wiki sita tu ambapo hupitia hatua mbalimbali za mafunzo yanayochukua muda wa miezi sita huku akipitishwa katika testing za utambuzi waharufu za vitu mbalimbali zikiwemo za maua na zile za mabomu ambayo ataenda kuyategua, akishafaulu anagraduate kwenda kufanya kazi kama Magawa alivyo'' alisema Msegu.

Panya Magawa mwenye umri wa miaka sita anakuwa panya wa kwanza kupewa tuzo hiyo kati ya wanyama wengine 29 ambo wamewahi kupata tuzo hii. Magawa alipelekwa nchini Cambodia, mwaka 2016 kutokana na nchi hiyo kuwa na kiwango kikubwa cha vifo vitokanavyo na mabomu ya ardhini yaliyotegwa wakati wa vita ya halaiki nchini humo miaka ya 1970 na 1980.

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria