Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namthamini yakamilisha ugawaji Kigoma Ujiji

Jumamosi , 30th Oct , 2021

Kampeni ya Namthamini imekamilisha zoezi la ugawaji wa taulo za kike katika shule za Halmashauri ya Kigoma Ujiji kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa na wilaya hiyo.

Wanafunzi wa Mwananchi Sekondari wakifurahi baada ya kupokea taulo za kike.

Shule zilizofikiwa ni Mwananchi Sekondari, Katubuka Sekondari na Mlole Sekondari ambapo jumla ya wanafunzi 300 wamepatiwa mchango wa taulo za kike kwa mwaka mzima, ikiwa ni taulo za kike kwa wanafunzi 100 kila shule.

Awali kuelekea zoezi la ugawaji huo kwenye mkoa wake, timu ya Namthamini ilizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye alitoa neno lake kuhusu kampeni hii ya Namthamini, "Kuhusu kampeni ya Namthamini mimi mwenyewe nimeshiriki kuongea na wazazi kuhusu umuhimu wa kuhakikisha mtoto wa kike anapata elimu na anatimiza ndoto zake,"- amesema Mhe. Andengenye.

"Pia tumekuwa tukishirikiana na mashirika ya Umoja wa Mataifa ili kuhakikisha utu wa mtoto wa kike hasa anapokuwa kwenye hedhi uko paleple na hakosi masomo hata siku moja. Kampeni ya Namthamini sisi wengine ni wadau na tumekuwa tukishiriki kwa namna moja ama nyingine na pia tuna watoto wa kike na tumeoa wanawake hivyo tunawathamini sana" - ameongeza Mkuu huyo wa Mkoa. 

Kampeni ya Namthamini itaendelea na zoezi la ugawaji katika wilaya ya Kasulu ambako jumla ya shule tatu zitanufaika kwa wanafunzi 300 kupata taulo za kike kwa mwaka mzima.

 

 

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria