Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfalme aliyetawala maisha kwa sasa

Jumanne , 31st Oct , 2023

Vuta picha unakibubu ambacho kinahesabu mia mbili na chenji zote zilizomo na kukwambia kiasi chako, sasa hiyo ni sehemu ndogo sana ndani ya Teknolojia ya FINTECH.

 

Neno FINTECH linaweza kuwa geni masikioni pako, lakini huwenda ukawa ni mmoja wa watu ambao umekwisha wahi kutumia teknolojia hii.

FINTECH ni kifupi cha neno ''Financial and Technology'' ukiweka kwa pamoja ndiyo unapata neno hilo, miamala yote iliyohitajika kukamilishwa mtandaoni, bila kusahau ile ya ku-tap na kuchanja ukijumlisha ile ya ku-scan basi yote inapita mbele kwenye hii. 

Hizi ni baadhi tu ya faida za kutumia teknolojia hii ya FINTECH
1. Kurahisisha malipo yaani kupitia teknolojia ya FINTECH wewe ni sehemu yoyote tu una scan umamaliza au una-tap shughuli unaikamilisha.

2. Kubana matumizi kwani kupitia FINTECH huna hata ya kusubiri chenji ufanyapo malipo unaweka pesa inayotakiwa na inayobaki inasalia kikashani, yaani hapa haipotei hata hamsini.

3. Kukopa mtandaoni, iwapo muamala umeshindikana kukamilika kwa kukosa kiasi cha fulani cha fedha basi bank au taasisi husika ya kifedha inakuwezesha kukamilisha mualala kwa kukuwezesha (kukukopesha) kiasi kilichopelea.

4. Kufanya miamala ya fedha mtandaoni: ikiwa ni mtu wa kupenda ku-bet, kucheza games mtandaoni, kuagiza bidhaa mtandaoni na mengine yanayohusiana na hayo basi FINTECH ina nafasi yake kwenye hicho unachokifanya.

Picha: Saturadar.com

 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90