Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mazoezi dawa ya magonjwa yasiyoambukiza

Jumamosi , 29th Aug , 2020

Ili kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza yanayosababisha udhoofu katika mwili na kupelekea kifo, wananchi wametakiwa kujiwekea tamaduni za kufanya mazoezi mara kwa mara.

Mazoezi

Akizungumza na EATV mkufunzi wa masuala ya afya na lishe bora Godrick Charles, amesema kuwa suala la afya limekuwa halizingatiwi kama tamaduni mpaka pale utakapotolewa ushauri kutoka kwa Daktari pekee hivyo kutaka jamii kubadilika 

"Ukweli tafiti nyingi zinaonesha kuwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza yamesababishwa na mitindo ya maisha namna ya kula, kunywa na mengine ni muhimu sana yakazingatiwa ili kuepusha athari za kiafya zaidi", amesema Charles.

Kwa upande wao washiriki wa mazoezi hayo ambao wengi wao ni wafanyakazi wa taasisi na kampuni mbalimbali, wamesema kuwa muda mwingi wamekuwa wakiutumia katika shughuli za uzalishaji na kusahau mambo muhimu ya kuzingatia katika kulinda afya zao, huku akisisitiza umuhimu wa kutenga muda wa kufanya mazoezi na kuwaona wataalamu wa afya kwa ajili ya ushauri ili kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90